RICK ROSS AMVALISHA PETE DEMU WAKE





Mnene Rick Ross, rapa na Boss wa lebo ya MMG, safari hii ameibuka tena kwenye headlines kutokana na hatua zake kuelekea kuuaga ukapela, hasa baada ya kumvalisha pete ya uchumba mpenzi wake anayefahamika kwa jina Shateria L. Moragne-el.

Story kubwa zaidi kutoka katika tukio hili, ni pete ya uchumba ambayo Ross amemvalicha bibie Shateria L. Moragne-el kutokana na habari za kiuchunguzi kugudua kuwa, thamani ya pete hii ni dila laki 5 ambayo ni zaidi ya shilingi milioni 800 za kitanzania.




Taarifa zinasema kuwa, Ross na mpenzi wake huyu wamekuwa pamoja kwa miaka mitano sasa licha ya misukosuko ya hapa na pale katika mahusiano yao, kitu ambacho kimewashawishi sasa kuchukua hatu aya kuhalalisha mambo yao.
Previous Post Next Post

Popular Items