MAKTABA NA TEKNOLOJIA KWA MAENDELEO Y ATAIFA



Mwezeshaji kutoka nchini Finland Ritva Hyttinen akitoa mada pamoja na kuwaonyesha washiriki aina ya kazi zake kupitia teknolojia ya  vielelezo wakati wa mkutano wa siku mbili kuhusu maktaba kwa maendeleo uliofunguliwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo nchini Selestine Gisimba (hayupo pichani) Mkutano huo umewashirikisha  washiriki 80 kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Finland, Germany, Italy na United Kingdom.
Mshiriki wa mkutano wa Mkutsno wa Umuhimu wa maktaba kwa maendeleo Sarah Makoi kutoka COSTECH akichangia katika mktutano wa maktaba kwa maendeleo  jijini Dar es salaam.Mkutano huo wa siku mbili utamalizika leo jioni.
                      
Previous Post Next Post

Popular Items