Homecelebrity Photos Picha: Umeziona picha hizi za Rapper Rick Ross alivyo kwa sasa, kitambi chote kwisha byNews Tanzania -Friday, October 24, 2014 0 Rapper Rick Ross na mmiliki wa record lebel MMG amepunguza kilo zingine zaidi na sasa muonekano wake umabadilika sana. Aliamua kupunguza kilo baada ya kupata matatizo ya kiafya na kupoteza fahamu akiwa safarini kwenye ndege mwaka jana. Rick Ross amewahi kusumbuliwa na unene uliowahi kumfanya apoteze fahamu wakati mwingine. Je wewe mdau unauonaje mwili wa Rick Ros kwa sasa? Tags: celebrity Photos News Rick Ross Facebook Twitter