Picha: Angalia wema alivyombusu mtangazaji huyu wa Tv

Wema sepetu pamoja na kua talk of the town kwa kutoka na mkali wa Bongoflava Diamond Platnumz , lakini hachoki kuonesha upendo pia kwa rafiki zake wa karibu. Baada ya kupiga picha huku akimbusu manager wake  Martin Kadinda , sasa ni zamu ya Mtangazaji wa kipindi cha 5 Select ya East Africa TV (Channel 5) , Tonny Albert (tbway360) kupata upendo wa wema.

 Mtangazaji Tonny Albert (tbway360)

Wema Sepetu akimkiss Tonny Albert (tbway360)



Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA