Mwanaharakati wa masuala ya wanawake na profesa wa Marekani amuita Beyonce kuwa ni Gaidi

Mwanaharakati wa masuala ya wanawake na profesa wa Marekani, Gloria Jean Watkins maarufu kama ‘bell hooks’ amemuita Beyoncé kuwa ni gaidi kwa jinsi anavyowaharibu wasichana wadogo.



Katika mazungumzo yaliyofanyika ya The New School yaliyohusisha wanawake wamarekani weusi na kuitwa ‘Are You Still a Slave?’, wanawake hao walizungumza jinsi ya muonekano wa wanawake kwenye vyombo vya habari na ujumbe wanaoutoa kwa jamii.


“I’ve really been challenging people to think about would we be at all interested in Beyoncé if she wasn’t so rich, because I don’t think you can separate her class power, and the wealth, from people’s fascination with her. That here is a young, Black woman who is so incredibly wealthy. And wealthy is what so many young people fantasise, dream about, sexualise, eroticise. And one could argue, even more than her body, it’s what that body stands for—the body of desire fulfilled that is wealth, fame, celebrity, all the things that so many people in our culture are lusting for, wanting,” alisema.

“I see a part of Beyoncé that is in fact anti-feminist — that is a terrorist, especially in terms of the impact on young girls. I actually feel like the major of assault on feminism in our society has come from visual media, and from television, and videos. Just think, do we know of any powerful man of any colour who’s come out with some tirade against feminism? The tirades against feminism occur so much in the image-making business, and what we see.”
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA