Laki tano kutolewa na Ray C, kwa atakayetengeneza logo ya taasisi yake ya ‘Ray C Foundation.

Mwanadada Rehema Chalamila aka Ray C, amezindua shindano la kutengeneza logo ya taasisi yake ya ‘Ray C Foundation. Mshindi wa shindano hilo atazawadiwa shilingi laki 5.


 Kwa mwenye uwezo huo anaweza kutengeneza na kutuma kwenda raycfoundation2014@gmail.com. Mwisho wa shindano hilo March 30.




Post ya Ray C Instagram akitangaza kwa Fans wak!e








Previous Post Next Post