Picha: Hatimaye mshindi wa BBA ‘The Chase’ Dillish akutana na baba yake Mkenya




Wiki iliyopita mshindi wa mwaka huu wa Big Brother Africa ‘The Chase’ Dillish Mathews kutoka Namibia alimfahamu baba yake mzazi ambaye ni raia wa Kenya baada ya mama yake kuthibitisha kuwa ndiye baba yake.

                                    Dillish akiwa na baba yake Abdi Guyo

Baada ya Standard Media ya Kenya kufanya kazi ya kuwaunganisha baba Dillish aitwaye Abdi Guyo na mama yake Selma kwa njia ya mtandao baada ya kupotezana kwa miaka 23, Selma alimkaribisha ahudhurie birthday ya binti yake nchini Namibia ambayo ilikuwa jana (September 16).




“The dance with my dad was priceless”

Kupitia akaunti yake ya facebook Dillish ameshare picha za birthday yake akiwa na dad wake mkenya.
Previous Post Next Post

Popular Items