Ujumbe huu wa “maisha” toka kwa lulu unaweza kukufaa.

Jana kupitia mtandao, mwanadada Elizabeth Michael (Lulu) aliandika ujumbe huu kwa watu wote watakaopenda kuusoma na kuufanyia kazi katika maisha yao. Ujumbe huu ni ujumbe wa upendo na sio vibaya ukitafakari na kuufanyia kazi.



Mwanadada Lulu aliandika…
“Umeshawahi kujiuliza umempa nini Mungu?una afya na una Uwezo wa kufanya chochote japo Kuwa unamkosea na kutenda dhambi kila Leo?unajua ni wangapi walitamani kuiona siku ya Leo lakn hawakuweza!?unajua wapo walioweza kuiona lakini wanapita katika majaribu magumu sana!?je unahisi wewe unafaa sana?au ni msafi sana!?au ni mzuri sana!?laah hashaaa....sio kwa Uwezo wako ni kwa NEEMA YA MUNGU TU”
Tafakari!

Previous Post Next Post

Popular Items