WINNIE SHAYO ASHINDA TAJI LA REDDS MISS HAI 2013




Mshindi wa shindano la mrembo wa Redds Miss Hai 2013 Winnie Shayo( katikati) mshindi wa pili Mary Chemponda (kulia kwake) na mshindi wa tatu Catherine Leonard wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutangazwa washindi.
Mwakilishi wa TBL wilaya za Siha na Hai ,Edimund Rutaraka akikabidhi pesa taslimu kwa mshiriki wa shindano la kumtafuta Redds Miss Hai 2013 aliyeshika nafasi ya tano.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Hai.
Previous Post Next Post

Popular Items