SAFARI LAGER KUSHEREHEKEA UBINGWA WA BIA BORA AFRIKA NA WABUNGE MJINI DODOMA

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Robin Goetzsche (wa tatu kushoto) akikabidhi Kombe la Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager kwa Ujumbe wa Kampuni hiyo unaelekea Bungeni Mjini Dodoma kwa kupata baraka za waheshimiwa Wabunge na kuzindua rasmi wa ziara ya kupeleka kombe hilo katika mikoa mbalimbali hapa nchini.Pichani toka Kushoto ni Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania,Phocas Laswai (kushoto),Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe (pili kushoto),Mkurugenzi wa Masoko,Kushillla Thomas,Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (pili kulia) pamoja na Meneja Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
Ujumbe wa kampuni ya Bia Tanzania uliokabidhiwa kombe hilo kwaajili ya kupeleka Bungeni Mjini Dodoma,Ukiongozwa na Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania,Phocas Laswai (kushoto),Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe (pili kushoto),Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (pili kulia) pamoja na Meneja Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
Previous Post Next Post

Popular Items

EXPENSIVE THING OF THE DAY

New Music: Blue - Pesa