MCHEKI NEY WA MITEGO AKIWA KATIKA GARI YAKE MPYA YENYE THAMANI YA TSH MIL 35 NA BASTOLA YAKE [PICHA]






Mwaka 2013 ni mzuri kwa rapper Nay wa Mitego. Licha ya kuwa na hit single hewani, Muziki Gani aliyomshirikisha Diamond, rapper huyo amenunua ndinga mpya aina ya Mark X yenye thamani ya shilingi milioni 35. Kama hiyo haitoshi, hitmaker wa Nasema Nao, amejihami pia kwa kununua bastola.

NEY WA MITEGO

Nay akiwa na bastola yake

Nay ameshare picha hizo kwenye Instagram na Facebook ambapo miongini mwa picha za gari lake ameandika, ‘My new car. Mark X, Zic z wat I nid.” Mwaka huu Nay ametumiwa kwenye show nyingi za Airtel na Vodacom ambazo huenda zimemwingizia mkwanja wa kutosha.





Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA