Ujumbe wa H-baba kwa Mke wake Flora Mvungi

Mwanamuziki H-Baba aamua kuonyehs upendo wake kwa mke wake Flora Mvungi na kuamua kummwagia sifa kemkem kupitia mtandao wa Instagram, H-Baba na Flora Mvungi walifunga ndoa na sasa wanamtoto mmoja wa kike.



So kupitia mtandao wa instagram H-baba aliamua kuziirisha upendo wake kwa mke wake huyo mama Tanzaniteone



H-Babab aliandika hivi; 'Kaaa mkao wakula #KIDOGO video iyooo inakuja. Mwanamke Tabia uzuri mwachie #Nguva #florahmvungi #NIMREMBO, ANAJIESHIMU, #ANAIPENDA NDOA YAKE, #ANAMUHESHIMU MUME WAKE, ANATABIA NZURII MPAKA KAPITILIZA #KITABIA. #Penda unapo pendwa usikomae usikopendwa utabakia mifupa Ukipenda uwa penda natabia yake?'

H-baba atapanda jukwaani kesho Mwanza CCM Kirumba na kutoa Burudani kwa wakazi wa Mwanza akiwa na Ile team nzima ya wasanii wenzake wa Serengeti Fiesta


Previous Post Next Post

Popular Items