Picha: Kili Music Tour Ilivyofunika mkoani Kigoma

Wakazi wa Kigoma na vitongoji vyake wanaishuhudia Kili Music Tour iliyowakutanisha wasanii wanaofanya vizuri katika muziki nchini katika jukwaa moja uwanja wa lake Tanganyika.



Umati wa mashabiki ukiisubiria burudani katika uwanja wa Lake Tanganyika


 Hizi ni picha kutoka uwanjani hapo.

 Backstage: Christian Bella, Nikki wa Pili na Amini.
 Backstage: MwanaFA
 Mfalme wa Taarab nchini Mzee Yusuph ndiye aliufungua usiku wa Kili Music Tour.


  Amini akiwaimbisha mashabiki moja ya nyimbo zake.

  Amini akiwaimbisha mashabiki moja ya nyimbo zake.


 Mwasiti ambaye asili yake ni mkoa wa Kigoma alipokelewa kwa shangwe alipopanda jukwaani


 Mwasiti ambaye asili yake ni mkoa wa Kigoma alipokelewa kwa shangwe alipopanda jukwaani


 Mkali wa R&B nchini Ben Pol


 MwanaFA msanii wa kwanza wa Hip Hop kupanda jukwaani katika usiku wa Kili Music Tour mkoani Kigoma


 Profesa Jay mmoja ya wasanii wanaokubalika kila kona ya nchi akiwa jukwaani


 Backstage: Profesa Jay




 Mshindi wa tuzo ya mtunzi bora bendi, Christian Bella akiimba mbele ya umati wa mashabiki wa Kigoma


 Profesa Jay mmoja ya wasanii wanaokubalika kila kona ya nchi akiwa jukwaani


 Mizuka ya show iliwafanya hawa washindwe kujizuia kutoa shangwe



  Nikki wa Pili, Joh Makini na GNako Warawara waliendelea kuonyesha kuwa wao ni moja ya makundi bora kabisa ya Hip Hop kuwahi kutoke nchini


 DJ Choka akiwa kazini


 Wadau wakifurahia burudani


 Diamond na Wasafi wakiufunga usiku uliojaa burudani mkoani Kigoma


 Diamond na Wasafi wakiufunga usiku uliojaa burudani mkoani Kigoma


Wadau wakifurahia burudani


Previous Post Next Post

Popular Items