Picha: Picha ulizozimic kutoka nstagram, Huddah Monroe na Davido wajirusha pamoja Ghana

Yule aliyekuwa muwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Huddah Monroe aka Thee Boss Lady yuko nchini Ghana na mastaa kama Davido na HKN Gang  kushuhudia Celebrity Soccer.


Boss Lady akiwa na Davido
Masta wa nchi mbalimbali walishuhudia mechi za mastaa mbalimbali kutoka kwenye nyanja zote za burudani. Tazama picha zaidi.



Celebrity Soccer


Hapa Davido akiwa na Boss Lady

HKN Gang akiwa na Boss Lady

Previous Post Next Post