Video: Ujumbe wa Rais Obama kwa Vijana wa Afrika

Rais wa marekani Barck Obama amezungumzia juu ya hatma ya afria na viongozi wake kwa ujumla pia ni vizuri kwa kjana mtanzania  kusikiliza anachokizungumza Rais huyu wa 44 wa Marekani ambae anaamini mafanikio ya baadae ya Afrika yapo mikononi mwa vijana wenyewe kutoka bara hili.


Mtzame hapa Rais Barack Obama akiongea



Previous Post Next Post