Producer P -Funk a.k.a Majani aoa Arusha

Yule producer mkongwe wa wa Muziki wa Bongo na aliyesaidia kwa kiasi kikubwa kuufikisha muziki huu wa Bongo mahala ulipo P-Funk a.k.a Majani amefunga pingu za maisha  na mrembo aitwaye Hidaya katika harusi iliyofanyika jijini Arusha.



Kupitia Instagram, Majani ameandika: Finally i made the big moves’ na kuambatanisha picha akiwa na mke wake Hidaya.

Tazama picha hizi..



Wanaharusi mara baada ya kufunga ndoa













Previous Post Next Post

Popular Items

ZANZIBAR WAANZA KUTUMIA DIGITALI