Feza Kessy kuachia wimbo mpya ‘My Papa’ , atease kava lake

Aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa – The Chase, Feza Kessy, Baada ya kimya kirefu sasa anatarajia kuachia ngoma mpya iitwayo ‘My Papa’. Ngoma hiyo imetayarishwa na producer Nahreel. Hili ni kava la single hiyo.



Previous Post Next Post