Video: Mez B – Shemeji

Pengine ule msemo wa wahenga, usemao Kimya kingi huja na kishindo kikubwa ndicho kinachotokea kwa msanii Mez B aliyetamba na ngoma iitwayo “Kama Vipi” aliyomshirikisha Ray C mwaka 2008. Ni kimya kirefu tangu asikike kwenye tasnia ya muziki.


Ameachia video yake inayokwenda kwa jina “Shemeji” Itazame Hapa Chini...



Previous Post Next Post