Picha: Picha ya Siku Mkenya Lupita Nyongo akiwa na Mama yake Mzazi

Ilikuwa ni kwenye red carpet session ya .Tuzo za filamu. BAFTAs(2014) ambapo hata hivyo hakubahatika kufanya vizuri,kama alivyofanya kwenye tuzo kubwa z a Oscar,kupitia movie ya 12 years a slave.


Previous Post Next Post