PICHA: MSHINDI WA BSS 2013 NI EMMANUEL MSUYA

Emmanuel Msuya jana alitawazwa mshindi wa shindano la Bongo Star Search 2013 kwenye fainali iliyofanyika kwenye ufukwe wa kiota cha Escape 1 jijini Dar es Salaam. Msuya aliwabwaga wapinzani wake wanne Elizabeth Mwakijambile,Amina Chibaba,Maina Thadei na Mellisa John. Kutokana na ushindi huo, Msuya alijishindia zawadi ya shilingi milioni 50.


Emmanuel Msuya akiwa ameshika briefcase yenye shilingi milioni 50
Furahaa baada ya kutangazwa kuwa yeye ndo mshindi
Msuya afurahia baada ya kutangazwa kuwa yeye ndo mshindi
Emmanuel Msuya na Elizabeth Mwakijambile wakisubiri kutajwa mshindi kati yao
Emmanuel Msuya na Elizabeth Mwakijambile wakisubiri kutajwa mshindi kati yao
Amina Chibaba akiwa stejini
Amina Chibaba akiwa stejini
Elizabeth Mwakijambile mshiriki wa EBSS 2013
Elizabeth Mwakijambile mshiriki wa EBSS 2013 aliyekamata nafasi ya pili
IMG_3988
Top 5 wakitumbuiza
IMG_3990
Peter Msechu akitumbuiza na washiriki walioingia 5 bora
IMG_4002
Amina Chibaba
IMG_4019
Elizabeth
IMG_4027
Emmanuel Msuya
IMG_4052
Mellisa John
IMG_4075
Rapper Kimbunga akitumbuiza
IMG_4077
Young Killer akiimba wimbo wake Mrs Superstar
Madam Ritta na Mastar Jay wakiwa katika meza
Madam Rita na Master Jay wakiwa katika meza ya majaji
Majaji wa fainali za EBSS 2013 kutoka kushoto Banana Zorro, Madam Ritta na Master J wakifuatilia fainali hizo
Majaji wa fainali za EBSS 2013 kutoka kushoto Banana Zorro, Madam Rita na Master J wakifuatilia fainali hizo
Makomando wakifanya show
Makomando wakifanya show
Mshindi wa EBBS 2013 Emmanuel Msuya.
Mshindi wa EBBS 2013 Emmanuel Msuya
Mshiriki Mellisa John
Mellisa John
Mshiriki wa EBSS Maina Thadei
Mshiriki wa EBSS Maina Thadei
Shaa akiwapa mashabiki wake sugua gaga
Shaa akiwapa mashabiki wake ladha ya live ya wimbo wake Sugua Gaga
Sizza na Tj
Mamcee wa show Siza na TJ
Snura akiwa jukwaani
Snura akiwa jukwaani
Wanakitivo watakaohesabu kura za washiriki wakiongozwa na Saldado (kushoto), Barnaba (kati) na Fid Q.…
Wanakitivo Saldado (kushoto), Barnaba (kati) na Fid Q
Washiriki walio ingia tano bora wakijiandaa kwenda kutoa Burudani
Washiriki walioingia tano bora wakijiandaa kwenda kutoa burudani
Washiriki walioingia Tatu Bora kutoka kushoto ni Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John
Washiriki walioingia tatu bora kutoka kushoto ni Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John
IMG_4097
IMG_4106
IMG_4108
IMG_4118
IMG_4132
IMG_4144
IMG_4145
IMG_4160
IMG_4165
IMG_4167
IMG_4171
IMG_4172
IMG_4179
IMG_4185
IMG_4189
IMG_4200
IMG_4203
IMG_4218
IMG_4221
IMG_4228
IMG_4235
IMG_4240
IMG_4241
IMG_4250
IMAGE CREDIT NA BONGO5.COM 
Previous Post Next Post