Hii ndio kauli ya Irene uwoya ya kufunga mwaka huu wa 2013. Inakuhusu na wewe


“Napenda kuchukua nafasii hiii kuomba samahan kwa wote nilio wakosea...napia mim nimewasamehe...nataka nimaliza mwaka kwa amani na upendo...nawapenda wote sina kinyongo na mtu...asante mwenyez mungu kwakunipa nguvu…”

Previous Post Next Post