Makamu wa Rais Dr. Mohamed Gharib Bilal leo amewaongoza wakazi wa Dar es Salaam, kuuaga mwili wa aliyewahi kuwa mtangazaji wa Radio Tanzania, Radio One na kuwa Meneja wa Abood Media, Julius Nyaisangah aliyefariki dunia juzi mkoani Morogoro.

Wengine waliokuwepo kuuaga mwili wa marehemu Nyaisangah ni pamoja na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, Mkuu wa wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa na mumewe Boniface Mkwasa.
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi akiuaga mwili wa marehemu Nyaisangah
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Radio One ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa akiwa na mume wake Boniface Mkwasa
                              Betty Mkwasa akiuaga mwili wa marehemu Julius Nyaisangah
                                           Familia ya marehemu Nyaisangah
                                   Godwin Gongwe na Ruge Mutahaba waliokaa katikati
                           Mengi akiuaga mwili wa marehemu Nyaisangah
                 Reginald Mengi, Makamu wa Rais Dr. Bilal, Betty Mkwasa na Freeman Mbowe
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi akisalimiana na Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal





Marehemu Nyaisangah atazikwa wilayani Tarime, Mara.
Image Credit: Dewjiblog

Makamu wa Rais Dokta Gharib Bilal
Wengine waliokuwepo kuuaga mwili wa marehemu Nyaisangah ni pamoja na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, Mkuu wa wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa na mumewe Boniface Mkwasa.













Marehemu Nyaisangah atazikwa wilayani Tarime, Mara.
Image Credit: Dewjiblog
Tags:
Photos