Video: Ile Filamu aliyoigiza Ice Prince na Yvonne Nelson ‘House of Gold’ yaingia sokoni



Filamu ya muigizaji wa kike namba moja nchini Ghana, Yvonne Nelson aliyoigiza na mwanamuziki wa Nigeria Ice Prince, House of Gold imeingia sokoni July 19.





Wasanii wengine walioigiza kwenye filamu hiyo ni pamoja na TMajid Michel, Eddie Watson, Luckie Lawson, Umar Krupp na Omawumi Megbele.




Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA