Mama mzazi wa Z-Anto afariki kwa saratani ya Ini




Msanii wa kizazi kipya Z-Anto amefiwa na mama yake mzazi mchana wa leo baada ya kuugua kwa muda mrefu saratani ya ini. Msiba unafanyika nyumbani kwao maeneo ya Kigamboni jijini Dar es Salaam.
971110_623176331033610_40206523_n
Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho. Tunampa pole Z-Anto kwa msiba huo. Msikilize hapo chini.


Previous Post Next Post