Cheki na Picha na ujumbe wa Diamond kwa haters wake




Inaonekana Diamond amechoshwa na haters wanaosubiri aanguke kimuziki na kumcheka, ndio maana leo hii kupitia mtandao wa Instagram, ameamua kutupia picha inayomuonyesha anaanguka kutoka juu (angani) na kufikia chini kwa kichwa kwenye barabara ya lami. Picha hiyo iliyokuwa na maelezo yanayosema , "Najua hiki ndio mnachokisubiri, kwahiyo endeleeni kusubiri" na kuwa cc ma-haters 







Previous Post Next Post

Popular Items