ADAM MCHOMVU ALIVYOTUKANWA VIBAYA…




Adam Mchomvu alijikuta akimiminiwa matusi na followers wake wa facebook kwa kisa cha kupost picha za Jay Dee za utupu kwenye page yake.

Adam Mchomvu amekanusha kwamba yeye hausiki na hicho kitendo cha kupost hizo picha.

For info check comment hizi hapa chini kutoka kwenye page ya facebook ya Adam Mchovu

Previous Post Next Post