BOSS MPYA WA TIC AKUTANA NA WAFANYAKAZI WA KITUO HICHO




Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi.Juliet Kairuki akizungumza na wafanyakazi wa kituo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki alipowasili kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kushika wadhifa huo na Rais Dkt. Jakaya Kikwete hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi.Juliet Kairuki akiwa ameshilia maua aliyokabidhiwa na wafanyakazi wa kituo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki alipowasili kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kushika wadhifa huo na Rais Dkt. Jakaya Kikwete hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi.Juliet Kairuki akimsikiliza Mkurugenzi wa Utawala na Fedha, Bi. Beatrice Chonjo (kulia) akimpa maelezo mafupi ya kituo kabla ya kuzungumza na wafanyakazi wa kituo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki alipowasili kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kushika wadhifa huo na Rais Dkt. Jakaya Kikwete hivi karibuni.Wengine ni Mkurugenzi wa Huduma, Bi. Senzie Nakuala, Mkurugenzi wa Mifumo ya Habari na Mawasiliano, Dkt. John Kyaruzi na Meneja wa PPP, Bwana Said amiri.
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA