AVRIL ASHEHEREKEA BIRTHDAY YAKE ELEMENTS-DAR ,AY PREZZO LINEX NA FA WAUNGANA NAYE KUTOA SUPPORT! [PICHA



Mwanamuziki mrembo wa nchini Kenya, Avril amefanyiwa party ya birthday ya aina yake kwenye kiota cha Elements kilichopo Masaki jijini Dar es Salaam. Avril ambaye aliitambulisha pia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Ommy Dimpoz, amesherehekea birthday yake na mastaa kibao wakiwemo Prezzo, AY, Mwana FA, Linex, Jokate Mwegelo, Vanessa Mdee, Salama Jabir, Brigitte Alfred (Miss Tanzania 20120 na wengine kibao. Hizi ni picha za party hiyo.

The sexy Avril



We must admitt AY’s girlfriend is very beautiful



Arthur wa Unity Entertainment akiwa na Avril



Happy moment




Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred (kushoto) akiwa na rafiki



Keki ya Avril



Linah akiwa na washkajiww

Linex, Prezzo na FA

Thandi Kathembe na Carlos wa Samaki Samaki

Nchakalih na Abby



Vanessa Mdee akifurahia jambo

Vanessa Mdee na Abby

Meneja wa Heineken Tanzania, Uche Unigwe (katikati) akiwa pamoja na Avril




Kwa mbali Abby na Prezzo wakisalimiana





Feza Kessy na Avril




Prezzo na FA

Arthur, Prezzo, AY na FA

Brothers






Prezzo na shemeji yake



Prezzo akiingia Elements



Prezzo akisalimiana na swahiba wake AY






Jokate Mwegelo





Linex

Nchakalih na washkaji



AY akiwa na mrembo wake













Salama na Mwana FA





Avril akifurahia birthday yake














NEWS VIA BONGO5
Previous Post Next Post