Picha: Yaliyojiri katika tamasha la Airtel yatosha lililofanyika tarehe 7/4/2013 'Coco beach' Da es salaam

TIPTOP Connection likishabulia jukwaani


Kazi ya kuwaunganisha wateja na mtandao wa Airtel ilikuwa ikiendelea kama kawaida


Msanii   Madee kutoka kundi la TIPTOP Connection akifanya vitu vyake jukwaani huku mashabiki lukuki wakishuhudia.

Fid Q akipagawisha mashabiki wake katika tamasha hilo


Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Jackson Mmbando akimkabidhi fulana mmoja wa wateja wa Airtel aliyeelezea vizuri kampeni ya Airtel Yatosha


Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Jackson Mmbando  akizungumza na wateja wa Airtel na mashabiki waliojitokeza katika tamasha la Airtel Yatosha kwenye ufukwe wa Coco Beach leo jioni.


Ney wa Mitego msanii wa muziki wa Kizazi kipya Bongofleva akifanya  jukwaani vitu vyake kwenye ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es salaam  leo jioni katika tamasha la “Airtel Yatosha Concert” Wasiliana ndani na nje ya mtandao kwa bei poa  kuanzia 349/= dakika 10 kupiga mitandao yote  SMS 100 na 25MB Piga *149*99# utaona faida yake, katika tamasha hilo wamehudhuria mashabiki wengi wa muziki wa kzazi kipya na kupata burudani kutoka wasanii mbalimbali wakiwemo Madee wa TIPTOP Connection, Fid Q na wengine wengi.


Kikundi cha burudani kikitoa burudani kwa kuigiza kutangaza taarifa ya habari ya Televisheni


Mashabiki hawatulii wote mikon0 juu


Wengine waliamua kupanda juu yamiti kabisa ili waweze shuhudia vizuri! 

Previous Post Next Post

Popular Items