![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/04/7-RC-Mecky-Sadick-akiongea.-magufulikushoto.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Sadick Mecky (kulia) akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji saini mkataba wa ujenzi wa Kivuko cha Dar es salaam – Bagamoyo. Kivuko hicho kitagharimu shilingi 7.91 bilioni za kitanzania. Mwengine ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/04/9-magufuli-kulia-akiongea-na-Balozi.jpg)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akiongea na Balozi wa Denmark nchini Tanzania Mh. Johnny Flinto,katika sherehe ya uwekaji saini mkataba wa ujenzi wa kivuko cha Dar es Salaa- Bagamoyo (April 25, 2013).
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/04/10-prof.-Mshoro-kulia-na-mwakilishi-wa-kampuni.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri ya TEMESA, Prof. Idrisa Mshoro (kulia) akimueleza jambo Mwakilishi wa kampuni ya JOHS GRAM HANSSEN A/S ya Danmark , Andreas Gottrup wakati wa sherehe za uwekaji saini mkataba wa ujenzi wa kivuko cha Dar es Salaam- Bagamoyo jijini Dar es Salaam(April,25,2013).