PICHA 2 NA TAARIFA : KUHUSU MSANII ALIYE ZUSHIWA KUWA MPENZI WA AMINI WA THT.

Huyu Saynag Ni Msanii wa Extra Bongo Tanzania. Hivi karibuni Aliandika Kwenye Ukurasa Wake Wa Facebook Kuwa Hana Mahusiano Yoyote Na Msanii Mwenzake Amini Wa THT Na Ni Marafiki Tu. 


thibitisha hpa!


Hizi Ni Picha Mbili Wa Kiwa Pamoja Wakati Wa Show Za Extra Bongo

Amini Na Saynag
Previous Post Next Post