


Meneja Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Geofrey Meena kushoto akitembelea Banda la Kampuni ya Pongo Safaris katika maonyesho ya Utalii ya ITB, wengine kutoka kulia ni Marlon Van Hee Meneja Mradi wa kampuni ya ECEAT PROJECTS ya Uholanzi ,Julias Alexander Pundo Mwakilishi wa kampuni ya Ramogi Tours & Travel Limited Jumuiya ya Ulaya na Cynthia Ponera Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Pongo Safaris

Wadau wa Ujerumani hawakukosa kutembelea maonyesho hayo hapa walikuwa wakipata Menyu wakati wa hafla ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 

Team Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kazi kubwa ya kuuza utalii wa Tanzania kwenye maonyesho hayo. 

Hapa ni kwenye Banda la Pongo Safaris na Ramogi Tours pichani ni Julius wa Ramogi Tours pamoja na Cynthia wa Pongo Safaris 

Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Christopher Mvula akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani wakati walipokutana katika maonyesho hayo

Huu nao ulikuwa ni utalii wa aina yake katika maonyesho hayo ambapo watu mbalimbali walikuwa wakipiga nao picha kwa ajili ya kumbukumbu zao
Tags:
Business