KINYWAJI KIPYA CHAMALTIZA CHAZINDULIWA LEO MJINI ARUSHA

wakazi wa jiji la Arusha wakiwa wamejitokeza kwa wingi ili wakionje kinywaji kipya cha Maltiza ambacho hakina kilevi wakati wa uzinduzi wake uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Sanawari,jijini hapa.Wasanii wa Kikundi cha Hakuna Matata cha jijini Arusha wakitembeza mfano wa Kinywaji kipya cha Maltiza ambacho hakina kilevi kinachotengenezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa watu mbali mbali waliofika kwenye uzinduzi wake uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Sanawari,Jijini Arusha.

Balozi wa Kinyaji kipya kisicho na kilevi cha Maltiza ambacho kinatengenezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Sophia Amein (kulia) akimpa kinywaji hicho mmoja wa wakazi wa jiji la Arusha ili akionje wakati wa uzinduzi wake uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Sanawari,jijini Arusha. 

Hapa wakipitisha mfano wa MALTIZA

Hapa wakiruka katika maonyrsho hayo

Wasanii wa Kikundi cha Maonyesho ya Sanaa ya Sarakasi kifahamikacho kwa jina la Hakuna Matata chenye maskani yake jijini Arusha kikifanya Maonyesho katika viwanja vya Sanawari,jijini Arusha wakati wa Uzinduzi wa Kinywaji cha Maltiza jioni ya leo.

Previous Post Next Post