MASHINDANO YA UREMBO YAANZA SEHEMU MBALIMBALI NCHINI.


MISS ILALA TALENT SHOW KURINDIMA KESHO NYUMBANI LOUNGE


Hapa mwalimu akiwagea mafunzo vimwana hao Mwalimu wa wanyange…

Warembo wakifanya mazoezi ya vipaji  ambapo kesho watachuana kwenye shindano la kumsaka Miss Vipaji litakalofanyika Hoteli ya Usambara inayomilikiwa na Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba.

Washiriki hao kutoka  Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro wakiwa  katika pozi nje ya Hoteli ya Usambara.

Previous Post Next Post