Steve Nyerere atangaza kugombea ubunge 2015

Muigizaji aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza sauti ya mwalimu Nyerere, Steve Nyerere ametazngaza nia ya kugombea ubunge mwaka 2015 katika jimbo la Kinondoni.


Muigizaji huyo ambaye ni mwenyekiti wa Bongo Movie Unity ameiambia Bongo5 kuwa tayari amejipanga kuwania kiti hicho kwa tiketi ya CCM.

“Ukiona chereko chereko ujue mambo yameiva, yeah nitagombea ubunge mwakani. Nimejipanga na ninaweza kufanya hivyo, nipo vizuri sana.” Amesema.

Source: Bongo5
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA