Shakira awa mtu wa kwanza kufikisha ‘likes’ milioni 100 Facebook

Muimbaji Shakira wa Colombia ameweka rekodi mpya kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha likes milioni 100 kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook.




Mwezi March mwimbaji huyo wa ‘Can’t remember to forget you’ alitajwa kuwa ‘most-liked musician on Facebook’ kwa kumzidi kidogo Rihanna. Wakati huo alikuwa na likes milioni 86.3.

Kusheherekea mafanikio hayo Shakira amepost video katika akaunti yake ya facebook akiwashukuru mashabiki wake.

Endelea kupata Habari Zaidi Kila siku Kutoka BONGO61.COM  Kwa Kijiunga Hapa Buree!. au like Facebook Fan Page yetu na Twitter ili kupata kila habari

“That is incredible, Thank you so much for your support, for your loyalty, for your love. It’s really unbelievable. Thank you so much.” Amesema kwenye video hiyo.
Previous Post Next Post