Huyu ndiye mtanzania Pekeee aliyeshiriki Arusi ya Tiwa Savage Iliyofanyika Dubai

Miss Tanzania, 2001, Happiness Millen Magese, alihudhuria harusi ya kifahari ya mwanamuziki wa Nigeria, Tiwa Savage na Tunji Teebillz iliyofanyika kwenye hoteli ya Armani, iliyopo katika jingo refu zaidi duniani, Burj Khalifa mjini Dubai.



Millen na Tiwa Savage

Harusi hiyo ilifanyika Jumamosi, April 26.

Millen Magese na Don Jazzy

Miongoni mwa mambo yaliyotia fora kwenye harusi hiyo ni pale CEO MAVIN Records Don Jazzy alipowapa wanandoa hao gari mpya ya SUV.


Wageni wote kwenye harusi hiyo walipewa customized iPhones.



Previous Post Next Post