Picha: Q-Chief apokea baraka kutoka kwa King Kikii na Kasongo Mpinda

Amin usiamin kuna watu wanaoenda kwa wazee wao kupata baraka za mikono, lakini Q-Chilla ameamua kuwatafuta wanamuziki wakongwe nchini, King Kikii na Kasonga Mpinda ili wampe baraka zao zitakazomuongoza wakati huu ambapo amejipanga kurejea kwa kishindo kwenye chart.



Pokea baraka zetu kijana: King Kikii na Kasongo Mpinda wakimwekea mkono kichwani Q-Chief kama ishara ya kumpa baraka

Chilla ambaye hivi karibuni alidai kufanya collabo mbili za kimataifa, amesema amewashirikisha pia wakongwe hao kwenye mradi wake mpya.



Previous Post Next Post

Popular Items