Picha: Mary J Blige atumbuiza Nigeria katika tamasha la ‘Sisters with Soul‘ Ilikuwa Tarehe (Sept 27)





 Mary J Blige alikuwa barani Afrika jana kwa kazi moja tu ya kutumbuiza katika tamasha la muziki lililofanyika Nigeria usiku wa jana.
Mary J-Naija3
Mary J (42) ambaye aliwasili Nigeria jana (September 27) kwa private jet aliungana na wasanii wengine wa Nigeria na Afrika katika tamasha la ‘Sisters with Soul‘ lililofanyika Lagos.

Mary J Nigeria
Mary J akiwasili Lagos, Nigeria
Mary J-Naija1

Mary J-Naija2
Mary J akitumbuiza katika tamasha hilo
Mary J-Naija5
Victoria Kimani wa Kenya pia ni miongoni wa wasanii walioshare jukwaa moja na MJB kutoka Marekani katika tamasha hilo.

Victoria Kimani
Victoria Kimani katika concert ya Sisters with Soul
Mara baada ya tamasha hilo Blige aliiaga Naija na asubuhi ya leo ametweet kuwashukuru mashabiki wake wa nchi hiyo.


Picha: 36ng.com, Lailasblog
Previous Post Next Post

Popular Items