Zaidi ya wana mitindo 30 usiku wa kuamkia leo wameshiriki kwenye Fashion Show iliyoandaliwa na mbunifu wa mavazi wa Tanzania, Ally Remmtullah. Onesho hilo la mavazi lenye jina ‘Fashion Avenue’ ama mtaa wa mitindo, limefanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam. Tazama picha za jinsi ilivyokuwa.



Hamisa nae alikuwa kati ya ma Model


































Shamra shamra za uzinduzi hizo




Ally ReHmtulah akitoa shukraNI kwa wageni waliofika







Kama inavyoonekana, ndo steji ilivyokuwa



Shaa alikuwepo kutoa burudani kali


Wadau wakifuatilia kwa makini

Images via: Bongo5.com