Hemedy atangaza kuacha kuvaa hereni tena kwenye uigizaji




Leo hii kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwigizaji Hemedy Suleiman maarufu kama Hemedy au Fernando (a.k.a yake mpya) amesema kuwa hatavaa tena hereni kwenye kuigiza kwani ameshakuwa mtu mzima sasa.
Hemedy ambaye hivi majuzi alisherehekea kutimiza miaka 27 ya kuzaliwaameandika kuwa kama mtu mzima, hata vaa tena hereni katika movie zake. Hatujaweza kujua kama ataacha kabisa kuvaa hereni au ni kwenye uigizaji tuu

Unalizungumziaje suala hili, Je, kuna umuhimu wa wasanii kuvaa hereni Tanzania?
Previous Post Next Post