Baada ya Ommy Dimpoz Kufanya Tupogo na J Martin "J-Martins amzawadia Ommy Dimpoz mkufu wenye thamani ya shilingi milioni 17"




Ukikutana na Ommy Dimpoz amevaa mkufu mkubwa wenye muonekano wa weusi na almasi, tambua kuwa amevaa dola 10,000 sawa na shilingi milioni 17 shingoni.

J Martin Akikabidhi Ommy Dimpoz zawadi iyo ya Cheni




Ommy akiwa amevaa mkufu aliozawadia na J-Martins 
 Mkufu huo alizawadiwa jana na staa wa Nigeria J-Martins kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa jana iliyoendana sambamba na party ya East Meets West iliyofanyika Elements Lounge.

“Ni mkufu ambao una vitu vya kung’aang’aa, kwa msanii mkubwa kama yeye kunua mkufu wa dola elfu 10 anaweza kuafford.”


Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA