JK AZINDUA BARAZA LA USHAURI LA WAZEE WA CCM



11 23f64
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete,akiwa pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, na Makamu Mwenyekiti Bara Mstaafu John Samuel Malecela, kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana, Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Ndugu Benjamin William Mkapa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ndugu Aman Karume wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama.
Previous Post Next Post

Popular Items