TECNO YAJA KWA KASI ZAIDI KATIKA SOKO LATANZANIA




Meneja Mauzo wa kampuni ya uuzaji wa simu za mkononi aina ya TECNO, Patrick Karogila, akionyesha moja ya simu za teknolojia ya hali ya juu “Smartphone” ambayo imeingizwa katika soko la Tanzania hivi karibuni, Simu hiyo pamoja na nyingine zimebuniwa ili kukidhi mahitaji ya watumiaji wa simu nchini, pamoja nae ni Afisa Uhusiano wa kampuni hiyo Boukali Mounir.

Meneja Uhusiano wa kampuni ya uuzaji wa simu za mkononi aina ya TECNO, akionyesha moja ya simu zenye teknolojia ya hali ya juu “Smartphones” ambayo imeingizwa katika soko la Tanzania hivi karibuni, Simu hiyo imebuniwa kukidhi mahitaji ya mawasiliano kwa watumiaji wa simu nchini, pamoja nae ni Meneja Mauzo wa kampuni hiyo Patrick Karogila.


Meneja Mauzo wa kampuni ya uuzaji wa simu za mkononi aina ya TECNO, Patrick Karogila, akizungumza na waandishi wa habari, (hawapo pichani) katika hafla ya kutambulisha simu zilizotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu kutoka katika kampuni hiyo, Simu hizo zimebuniwa kukidhi mahitaji ya mawasiliano kwa Watanzania wa aina zote. Pamoja nae ni meneja mahusiano wa kampuni hiyo, Boukali Mounir.
Previous Post Next Post

Popular Items