
Jeneza lenye mwili wa Albert Mangwea likiingizwa kwenye gari tayari kwa safari ya Morogoro ambako ndo atazikwa.

Mapaprazii wakichukua picha za mwisho mwisho

Gari likianza safari yake kuelekea Morogoro

Mama mzazi wa marehemu Albert Mangwea akiwa hoi kitandani kwa mshtuko alioupata kutokana na kifo cha mwanae