OMMY DIMPOZ NA CHEGE KUFANYA SHOO KALI NCHINI OSLO NORWAY




Kama kawaida yetu tukiwa na wageni toka East Africa kama Super Stars.
Basi uwa tunapenda kuwanae saani moja kama hifuatavyo Bongo Flavaz..
Chege Chigunda ni Mgeni wetu hapa nchini Norway pia Europ Tours.
Sasa pia anapenda kushirikiana na mwenzake toka Bongo Kigoma ni
Ommy Dipoz kwa Pozi wanafanya show kambambe hapa Nchini Norway 
Ikifanyika ndani ya Ukumbi wa 
Lakkegata skole 79b Slurpen @ 10-May-2013.
   
Cc.200 on door & 150 Nok, booking on www.Djpred.com 
Or call:- +47 96872483- Facebook/ Mpily Oslo Norway

                      Togather tunawakilisha....
Previous Post Next Post