Picha: Ney wa Mitego, Roma Madee, walivyongarisha tamasha la airtel yatosha mwanza





 Msanii Hiphop anaeshabikiwa kwa wingi Ney wa Mitego,akikamua wakati tamasha maalum la uzinduzi wa AIRTEL YATOSHA mkoani mwanza katika viwanja vya Furahisha.

 Wananchi mbalimbali wa mkoani mwanza walijitokeza na kujiuga na Airtel
ili waweze kutumia huduma za Airtel Yatosha
 Msanii Chipukizi aliyeonyesha kipaji cha hali ya juu kwa kughani
mashairi yenye mvuto kwa miondoko ya HIPHOP wa mkoani Mwanza maarufu 
kwa jina la Dogo D alifanya burudani kali katika tamasha maalum la 
 
Airtel yatosha mkoani Mwanza katika viwanja vya Furahisha

  Wananchi mbalimbali wa mkoani mwanza walijitokeza na kujiuga na Airtel
ili waweze kutumia huduma za Airtel Yatosha.
 Msaniii wa Miondoko ya Hip Hop ROMA Mkatoliki akitoa burudani kwa
maelfu ya wakazi wa Mwanza waliofurika katika viwanja vya Furahisha
Mkoani humo kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Yatosha
Previous Post Next Post