MH. LOWASSA APEWA TUZO MKOANI IRINGA



Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipokea tuzo kutoka kwa Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk. Boaz Sollo alipohudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio mkoani Iringa,hivi karibuni.
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akionyesha tuzo aliyopewa na Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk. Boaz Sollo (kushoto) alipohudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio mkoani Iringa, hivi karibuni. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa,Mh. Christine Ishengoma.
Previous Post Next Post