FM ACADEMIA YATAMBULISHA KINYWAJI CHA WINDHOEK NEW MSASANI CLUB WAKATI WA PASAKA SANJARI NA BURUDANI SAFI YA KUKATA NA SHOKA

SONY DSC
Rais wa Bendi ya FM Academia, Nyosh El-Sadat (watatu kulia) akiwa pamoja na vimwana wa bendi hiyo wakitoa burudani wakati wa utambulisho wa kinywaji kipya cha Beer and Wines Spirit kupitia kampuini ya Mabibo Beer and Wines Spirit
SONY DSCWadau mbalimbali wakiwa na kinywaji cha Windhoek kinachosambazwa na Kampuni ya  Mabibo Beer and Wines Spirit wakati wa utambulisho wa kinywaji hicho kwenye  Ukumbi wa New Msasani Club,jijiji Dar es salaam
ambapo ulienda sambamba  na utambulisho wa nyimbo  tatu mpya za  Bendi ya FM Academia kwa  udhamini wa kampuni hiyo
SONY DSC Vimwana wa na wanenguaji wa kiume wa bendi hiyo wakionyesha umahiri kwenye ukumbi wa New Msasani Club,jijiji Dar es salaam4Wadau mbalimbali wa bendi hiyo wakipata kinywaji cha Windhoek wakati wa onnesho hilo jana usikuSONY DSCNi wakati wa kuonyesha umahiri wa kuchezaSONY DSCNi wakati wa kuonyesha umahiri wa kucheza
7Wadau wakipata kinywaji cha WindhoekSONY DSCHuyu naye alitia fora na vazi lake stejiniSONY DSCWapenzi wa muziki wa Bendi hiyo wakiwa wamejimwaga kuserebuka  na nyimbo mpya  ya bendi hiyo inayo dhaminiwa na  Kampuni ya Mabibo Beer and Wines Spirit kupitia kinywa cha Windhoek
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA