
Rais wa Bendi ya FM Academia, Nyosh El-Sadat (watatu kulia) akiwa pamoja na vimwana wa bendi hiyo wakitoa burudani wakati wa utambulisho wa kinywaji kipya cha Beer and Wines Spirit kupitia kampuini ya Mabibo Beer and Wines Spirit

ambapo ulienda sambamba na utambulisho wa nyimbo tatu mpya za Bendi ya FM Academia kwa udhamini wa kampuni hiyo






