DK. SHEIN AKUTANA NA MKURUGENZI WA TAASISI YA KIMATAIFA YA UTAFITI WA KILIMO(IITA)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kilkimo (IITA) yenye Makao Makuu nchini Kongo
Dk.Nteranya Sangiinga,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na ujumbe wake jana
lMkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kilkimo (IITA) yenye Makao Makuu nchini Kongo Dk.Nteranya Sangiinga,(aliyesimama) akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati wa mazungumzo akiwa na Ujumbe wake Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA